Tel: +254 (0)20 2271000/ 20

Email: ashc@cabi.org

Sugar bean

Mwongozo wa wadudu na magonjwa ya mazao

Summary:

Mwongozo huu una lengo la kutoa habari wazi zinazowezesha kuchukua hatua juu ya wadudu na magonjwa muhimu zaidi yanayoathiri mazao muhimu ya chakula yanayokuzwa na wakulima wadogo barani Afrika.

Kwa kila mdudu au ugonjwa, maelezo yanatolewa ya jinsi ya kutambua tatizo, nini cha kufanya ili kuzuia kutokea na jinsi ya kudhibiti wakati linapotokea. Chaguzi za usimamizi wa kila mdudu au ugonjwa zimegawanywa katika ‘mbinu za kitamaduni’, kama vile matumizi ya aina sugu, mbegu safi, kilimo cha mzunguko na hali nzuri ya usafi shambani, na ‘mbinu za kikemikali’, ambazo huhusisha matumizi ya dawa sahihi za kuua wadudu. Aidha maelezo yanatolewa juu ya viumbe vinavyosababisha tatizo na madhara yake. Hatimaye, orodha fupi ya machapisho na tovuti inatolewa ambapo maelezo ya ziada yanaweza kupatikana.

Timu ya wataalam wa afya ya mimea wamekusanya maelezo haya; kwa kufanya hivyo wametumia utafiti na taarifa za hivi karibuni zinazopatikana mwaka wa 2015. Mazao yaliyoangaziwa ni: nafaka (mahindi, mawele, mtama, mpunga), mikunde (njugu, maharagwe na kunde) mazao ya mizizi (mihogo, viazi vitamu, viazi vikuu) na migomba.

Languages:
Swahili / Kiswahili
Read More Download (.pdf 2.6 MB)

Wadudu na magonjwa ya mazao mikunde Swahili

Summary:

Kadi hizi zina lengo la kutoa habari wazi zinazowezesha kuchukua hatua juu ya wadudu na magonjwa muhimu zaidi yanayoathiri mikunde yanayokuzwa na wakulima wadogo barani Afrika. Zimetolewa kwa mwongozo wa wadudu na magonjwa ya mazao, yakiangazia mazao kama nafaka (mahindi, mawele, mtama, mpunga), mikunde (njugu, maharagwe na kunde) mazao ya mizizi (mihogo, viazi vitamu, viazi vikuu) na migomba.

Kwa kila mdudu au ugonjwa, maelezo yanatolewa ya jinsi ya kutambua tatizo, na jinsi ya kudhibiti wakati linapotokea.

Timu ya wataalam wa afya ya mimea wamekusanya maelezo haya; kwa kufanya hivyo wametumia utafiti na taarifa za hivi karibuni zinazopatikana mwaka wa 2015.

Languages:
Swahili / Kiswahili
Read More Download (.pdf 3.1 MB)

Fukusi wa maharage – Acanthoscelides obtectus

Summary:

MUHTASARI: Fukusi wa maharage ni mdudu mharibifu mkubwa wa aina nyingi za maharage baada ya kuvuna. Mashambulizi huanza shambani, lakini linakuwa tatizo kubwa baada ya mavuno kwa kuwa matundu yaliyoachwa kwenye maharagwe hupunguza thamani ya mazao. Ili kuzuia mashambulizi makubwa, ni muhimu kuvuna maharagwe haraka mara tu yanapokomaa. Kuweka maharage katika hifadhi safi ni hatua muhimu zaidi. Ondoa maharagwe ya zamani kutoka kwa ghala na utumie dawa kusafisha ghala kama ni lazima. Tumia chombo cha kuhifadhi ambacho hakiingizi hewa kama inawezekana.

Languages:
Swahili / Kiswahili
Read More Download (.pdf 399.8 KB)

Legumes crop pests and diseases – summary cards

Summary:

These summary cards have information on the most important pests and diseases affecting legumes by smallholder farmers in Africa. They are based on the crop pests and diseases manual covering crops such as cereals (maize, millet, sorghum, rice), legumes (groundnuts, beans and cowpeas) roots and tubers (cassava, sweet potato, yam) and banana.

For each pest or disease, information is provided on how to recognise the problem and manage it.

A team of plant health experts has compiled this information; in doing so they have drawn upon the latest research and information available in 2015.

Languages:
English
Read More Download (.pdf 478.5 KB)

Pest factsheet: Bean bruchid

Summary:

This guide sets out the causes, impact, signs and symptoms of bean bruchid and offers practical advice on management through prevention and control strategies.

Languages:
English, Swahili / Kiswahili
Read More Download (.pdf 399.5 KB)

Pest factsheet: Cotton bollworm

Summary:

This guide sets out the causes, impact, signs and symptoms of cotton bollworm and offers practical advice on management through prevention and control strategies to a pest that attacks over 200 species of plants.

 

Languages:
English, Swahili / Kiswahili
Read More Download (.pdf 492.9 KB)

Better sugar beans – booklet

Summary:

This 16 page manual covers all aspects of growing sugar beans. Produced in partnership with N2Africa.

Languages:
English
Read More Download (.pdf 1.9 MB)

Legume production notes – hand-out

Summary:

Legume production notes: Soya bean, sugar bean, cowpea and groundnut is a 24 page hand-out explores cultivation of four legumes, treatments, diseases, moisture conservation in arable lands, inoculation, gross margin analysis for legumes and even recipes.

Languages:
English
Read More Download (.pdf 798 KB)