Potato (Irish)
Potato production manual
- Summary:
Mwongozo wa teknolojia za uzalishaji wa viazi mviringo Tanzania is an output of Upsaling Technologies in Agriculture through Knowledge and Extension (UPTAKE) project financed by IFAD and implemented by FRI and CABI. This 47 page manual gives information to farmers and stakeholders in potato production on good agronomic practices to consider when cultivating potatoes.
- Languages:
- Swahili / Kiswahili

Optimizing Fertilizer & ISFM in Uganda
- Summary:
Optimizing Fertilizer Use within the Context of Integrated Soil Fertility Management in Uganda is chapter 15 of the OFRA publication - Fertilizer use optimization in sub-Saharan Africa
- Languages:
- English

Optimizing Fertilizer & ISFM in Rwanda
- Summary:
Optimizing Fertilizer Use within the Context of Integrated Soil Fertility Management in Rwanda is chapter 13 of the OFRA publication - Fertilizer use optimization in sub-Saharan Africa
- Languages:
- English

Mwongozo wa wadudu na magonjwa ya mazao
- Summary:
Mwongozo huu una lengo la kutoa habari wazi zinazowezesha kuchukua hatua juu ya wadudu na magonjwa muhimu zaidi yanayoathiri mazao muhimu ya chakula yanayokuzwa na wakulima wadogo barani Afrika.
Kwa kila mdudu au ugonjwa, maelezo yanatolewa ya jinsi ya kutambua tatizo, nini cha kufanya ili kuzuia kutokea na jinsi ya kudhibiti wakati linapotokea. Chaguzi za usimamizi wa kila mdudu au ugonjwa zimegawanywa katika ‘mbinu za kitamaduni’, kama vile matumizi ya aina sugu, mbegu safi, kilimo cha mzunguko na hali nzuri ya usafi shambani, na ‘mbinu za kikemikali’, ambazo huhusisha matumizi ya dawa sahihi za kuua wadudu. Aidha maelezo yanatolewa juu ya viumbe vinavyosababisha tatizo na madhara yake. Hatimaye, orodha fupi ya machapisho na tovuti inatolewa ambapo maelezo ya ziada yanaweza kupatikana.
Timu ya wataalam wa afya ya mimea wamekusanya maelezo haya; kwa kufanya hivyo wametumia utafiti na taarifa za hivi karibuni zinazopatikana mwaka wa 2015. Mazao yaliyoangaziwa ni: nafaka (mahindi, mawele, mtama, mpunga), mikunde (njugu, maharagwe na kunde) mazao ya mizizi (mihogo, viazi vitamu, viazi vikuu) na migomba.
- Languages:
- Swahili / Kiswahili

Wadudu na magonjwa ya mazao Mizizi – Kiswahili
- Summary:
Kadi hizi zina lengo la kutoa habari wazi zinazowezesha kuchukua hatua juu ya wadudu na magonjwa muhimu zaidi yanayoathiri mizizi yanayokuzwa na wakulima wadogo barani Afrika. Zimetolewa kwa mwongozo wa wadudu na magonjwa ya mazao, yakiangazia mazao kama nafaka (mahindi, mawele, mtama, mpunga), mikunde (njugu, maharagwe na kunde) mazao ya mizizi (mihogo, viazi vitamu, viazi vikuu) na migomba.
Kwa kila mdudu au ugonjwa, maelezo yanatolewa ya jinsi ya kutambua tatizo, na jinsi ya kudhibiti wakati linapotokea.
Timu ya wataalam wa afya ya mimea wamekusanya maelezo haya; kwa kufanya hivyo wametumia utafiti na taarifa za hivi karibuni zinazopatikana mwaka wa 2015.
- Languages:
- Swahili / Kiswahili

Bakachelewa ya mbatata
- Summary:
Mwongozo huu unaweka sababu, athari, ishara na dalili za ugonjwa wa bakachelewa ya mbatata na unatoa ushauri wa vitendo juu ya usimamizi kupitia mikakati ya kinga na udhibiti.
- Languages:
- Swahili / Kiswahili
Roots and tuber crop pests and diseases – summary cards
- Summary:
These summary cards have information on the most important pests and diseases affecting roots and tubers by smallholder farmers in Africa. They are based on the crop pests and diseases manual covering crops such as cereals (maize, millet, sorghum, rice), legumes (groundnuts, beans and cowpeas) roots and tubers (cassava, sweet potato, yam) and banana.
For each pest or disease, information is provided on how to recognise the problem and manage it.
A team of plant health experts has compiled this information; in doing so they have drawn upon the latest research and information available in 2015.
- Languages:
- English
