Tel: +254 (0)20 2271000/ 20

Email: ashc@cabi.org

Pigeonpea

Optimizing Fertilizer & ISFM in Malawi

Summary:

Optimizing Fertilizer Use within the Context of Integrated Soil Fertility Management in Malawi is chapter 9 of the OFRA publication - Fertilizer use optimization in sub-Saharan Africa

OFRA book on Fertilizer Use Optimization - low res

Languages:
English
Read More Download (.pdf 1.6 MB)

OFRA Book on Fertilizer Use Optimization in Sub-Saharan Africa

Summary:

Fertilizer Use Optimization in Sub-Saharan Africa is a 228 page book that provides a detailed explanation on optimizing fertilizer use within an Integrated Soil Fertility Management Framework in 13 African countries. The book is an output of the Optimizing Fertilizer Recommendations in Africa (OFRA) project, funded by AGRA.

Languages:
English
Read More Download (.pdf 13 MB)

Mwongozo wa wadudu na magonjwa ya mazao

Summary:

Mwongozo huu una lengo la kutoa habari wazi zinazowezesha kuchukua hatua juu ya wadudu na magonjwa muhimu zaidi yanayoathiri mazao muhimu ya chakula yanayokuzwa na wakulima wadogo barani Afrika.

Kwa kila mdudu au ugonjwa, maelezo yanatolewa ya jinsi ya kutambua tatizo, nini cha kufanya ili kuzuia kutokea na jinsi ya kudhibiti wakati linapotokea. Chaguzi za usimamizi wa kila mdudu au ugonjwa zimegawanywa katika ‘mbinu za kitamaduni’, kama vile matumizi ya aina sugu, mbegu safi, kilimo cha mzunguko na hali nzuri ya usafi shambani, na ‘mbinu za kikemikali’, ambazo huhusisha matumizi ya dawa sahihi za kuua wadudu. Aidha maelezo yanatolewa juu ya viumbe vinavyosababisha tatizo na madhara yake. Hatimaye, orodha fupi ya machapisho na tovuti inatolewa ambapo maelezo ya ziada yanaweza kupatikana.

Timu ya wataalam wa afya ya mimea wamekusanya maelezo haya; kwa kufanya hivyo wametumia utafiti na taarifa za hivi karibuni zinazopatikana mwaka wa 2015. Mazao yaliyoangaziwa ni: nafaka (mahindi, mawele, mtama, mpunga), mikunde (njugu, maharagwe na kunde) mazao ya mizizi (mihogo, viazi vitamu, viazi vikuu) na migomba.

Languages:
Swahili / Kiswahili
Read More Download (.pdf 2.6 MB)

Wadudu na magonjwa ya mazao mikunde Swahili

Summary:

Kadi hizi zina lengo la kutoa habari wazi zinazowezesha kuchukua hatua juu ya wadudu na magonjwa muhimu zaidi yanayoathiri mikunde yanayokuzwa na wakulima wadogo barani Afrika. Zimetolewa kwa mwongozo wa wadudu na magonjwa ya mazao, yakiangazia mazao kama nafaka (mahindi, mawele, mtama, mpunga), mikunde (njugu, maharagwe na kunde) mazao ya mizizi (mihogo, viazi vitamu, viazi vikuu) na migomba.

Kwa kila mdudu au ugonjwa, maelezo yanatolewa ya jinsi ya kutambua tatizo, na jinsi ya kudhibiti wakati linapotokea.

Timu ya wataalam wa afya ya mimea wamekusanya maelezo haya; kwa kufanya hivyo wametumia utafiti na taarifa za hivi karibuni zinazopatikana mwaka wa 2015.

Languages:
Swahili / Kiswahili
Read More Download (.pdf 3.1 MB)

Funza wa vitumba

Summary:

Mwongozo huu unaweka sababu, athari, ishara na dalili za funza wa vitumba na unatoa ushauri wa vitendo juu ya usimamizi kupitia mikakati ya kinga na udhibiti.

Languages:
Swahili / Kiswahili
Read More Download (.pdf 328.4 KB)

Better harvest – more income – better nutrition leaflet

Summary:

6 page foldable leaflet, explaining how to improve harvest when intercropping maize and pigeonpea. Produced at a write-shop in Kenya facilitated by ASHC.

Languages:
English
Read More Download (.pdf 4 MB)

Better harvest – more income – better nutrition poster

Summary:

A3 poster explaining how to improve harvest when intercropping maize and pigeonpea. Produced at a write-shop in Kenya facilitated by ASHC.

Languages:
English
Read More Download (.pdf 2 MB)

Pest factsheet: Legume pod borer

Summary:

This guide sets out the causes, impact, signs and symptoms of legume bod borer and offers practical advice on management through prevention and control strategies.

Languages:
English, Swahili / Kiswahili
Read More Download (.pdf 424.8 KB)