Tel: +254 (0)20 2271000/ 20

Email: ashc@cabi.org

Sweet potato

Sweetpotato system (colour) cropping guide

Summary:

The sweetpotato system cropping guide is a practical 68 manual focusing on good agricultural practices for sweetpotato production that promote integrated soil fertility management. Produced by ASHC.

High and low resolution versions are available for downloading -this cropping guide is available in English only. A black & white, easy to print and photocopy, version will be available soon - the text is the same but the format is A4 and any images that rely on colour have been replaced.

Languages:
English
Read More Download (.pdf 706.7 KB)

Optimizing Fertilizer & ISFM in Tanzania

Summary:

Optimizing Fertilizer Use within the Context of Integrated Soil Fertility Management in Tanzania is chapter 14 of the OFRA publication - Fertilizer use optimization in sub-Saharan Africa

OFRA book on Fertilizer Use Optimization - low res

Languages:
English
Read More Download (.pdf 3.5 MB)

Optimizing Fertilizer & ISFM in Rwanda

Summary:

Optimizing Fertilizer Use within the Context of Integrated Soil Fertility Management in Rwanda is chapter 13 of the OFRA publication - Fertilizer use optimization in sub-Saharan Africa

OFRA book on Fertilizer Use Optimization - low res

Languages:
English
Read More Download (.pdf 1.8 MB)

OFRA Book on Fertilizer Use Optimization in Sub-Saharan Africa

Summary:

Fertilizer Use Optimization in Sub-Saharan Africa is a 228 page book that provides a detailed explanation on optimizing fertilizer use within an Integrated Soil Fertility Management Framework in 13 African countries. The book is an output of the Optimizing Fertilizer Recommendations in Africa (OFRA) project, funded by AGRA.

Languages:
English
Read More Download (.pdf 13 MB)

Mwongozo wa wadudu na magonjwa ya mazao

Summary:

Mwongozo huu una lengo la kutoa habari wazi zinazowezesha kuchukua hatua juu ya wadudu na magonjwa muhimu zaidi yanayoathiri mazao muhimu ya chakula yanayokuzwa na wakulima wadogo barani Afrika.

Kwa kila mdudu au ugonjwa, maelezo yanatolewa ya jinsi ya kutambua tatizo, nini cha kufanya ili kuzuia kutokea na jinsi ya kudhibiti wakati linapotokea. Chaguzi za usimamizi wa kila mdudu au ugonjwa zimegawanywa katika ‘mbinu za kitamaduni’, kama vile matumizi ya aina sugu, mbegu safi, kilimo cha mzunguko na hali nzuri ya usafi shambani, na ‘mbinu za kikemikali’, ambazo huhusisha matumizi ya dawa sahihi za kuua wadudu. Aidha maelezo yanatolewa juu ya viumbe vinavyosababisha tatizo na madhara yake. Hatimaye, orodha fupi ya machapisho na tovuti inatolewa ambapo maelezo ya ziada yanaweza kupatikana.

Timu ya wataalam wa afya ya mimea wamekusanya maelezo haya; kwa kufanya hivyo wametumia utafiti na taarifa za hivi karibuni zinazopatikana mwaka wa 2015. Mazao yaliyoangaziwa ni: nafaka (mahindi, mawele, mtama, mpunga), mikunde (njugu, maharagwe na kunde) mazao ya mizizi (mihogo, viazi vitamu, viazi vikuu) na migomba.

Languages:
Swahili / Kiswahili
Read More Download (.pdf 2.6 MB)

Wadudu na magonjwa ya mazao Mizizi – Kiswahili

Summary:

Kadi hizi zina lengo la kutoa habari wazi zinazowezesha kuchukua hatua juu ya wadudu na magonjwa muhimu zaidi yanayoathiri mizizi yanayokuzwa na wakulima wadogo barani Afrika. Zimetolewa kwa mwongozo wa wadudu na magonjwa ya mazao, yakiangazia mazao kama nafaka (mahindi, mawele, mtama, mpunga), mikunde (njugu, maharagwe na kunde) mazao ya mizizi (mihogo, viazi vitamu, viazi vikuu) na migomba.

Kwa kila mdudu au ugonjwa, maelezo yanatolewa ya jinsi ya kutambua tatizo, na jinsi ya kudhibiti wakati linapotokea.

Timu ya wataalam wa afya ya mimea wamekusanya maelezo haya; kwa kufanya hivyo wametumia utafiti na taarifa za hivi karibuni zinazopatikana mwaka wa 2015.

Languages:
Swahili / Kiswahili
Read More Download (.pdf 3.7 MB)

Ugonjwa wa mabaka ya shina na shina la jani wa viazi tamu – Alternaria bataticola

Summary:

MUHTASARI: Ugonjwa wa shina na shina la jani wa viazi tamu (pia uitwao Alternaria blight ya
viazi tamu), husababishwa na kuvu Alternaria bataticola. Hutokeza kama madoa juu ya majani, shina la jani, na mashina, na kusababisha majani kuanguka na mashina kufa. Hupatikana katika nchi kadhaa za Afrika lakini ni mbaya zaidi hasa katika mazingira ya baridi na unyevu ya Kati na Kusini Magharibi mwa Uganda. Usimamizi ni kupitia matumizi ya aina za viazi zilizochaguliwa au kuzalishwa ili ziwe na usugu au uvumilivu, kuchagua vipanzi kwa makini na kudumisha usafi, hasa uharibifu wa mashina baada ya kuvuna.

Languages:
Swahili / Kiswahili
Read More Download (.pdf 1.2 MB)

Vikongomwa wa viazi tamu

Summary:

MUHTASARI: Vikongomwa ni wadudu hatari sana wa migomba duniani kote. Idadi ya vikongomwa inaweza kupunguzwa kwa kutumia vipanzi safi, kuharibu mabaki ya mimea na kutumia mwarobaini; Hata hivyo, kuhamia kwa vikongomwa kutoka kwa mashamba jirani kunaweza kupunguza ufanisi wa njia zozote za kukabiliana nao.

Languages:
Swahili / Kiswahili
Read More Download (.pdf 397.6 KB)

Panya na fuko wa viazi tamu

Summary:

Mwongozo huu unaweka sababu, athari, ishara na dalili za panya na fuko wa viazi tamu na unatoa ushauri wa vitendo juu ya usimamizi kupitia mikakati ya kinga na udhibiti.

Languages:
Swahili / Kiswahili
Read More Download (.pdf 432.5 KB)